KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM

KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM
kiungo : KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM

soma pia


KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM

 Na Said Mwishehe,Globu ua jamii

MBUNGE wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete amemetuma maombi maalumu kwa Rais Dk.John Magufuli baada ya kumshauri aseme chochote kutokana na ushindi ambao wa mabao 3-0 ambao timu ya Tanzania ' Taifa Stars'  dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda.

Wakati Ridhiwani akimuomba Rais Magufuli kusema chochote,akizungumza kutoka Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya mpira kumalizika Rais amesema ushindi wa Taifa Stars ni heshima kwa Tanzania na kwamba leo ameona mpira.

"Kwa ushindi ambao wameupata vijana wetu wa timu ya Taifa kuna kila sababu mtani wangu Rais Dk.Magufuli kusema chochote ili wapiga kura roho zetu zipoe.Ni ushindi mkubwa na tumeandika histori na kubwa zaidi heshima kwa nchi yetu," amesema Ridhiwani.

Hata hivyo Rais Magufuli amezungumzia mchezo huo na kubwa zaidi ametoa pongezi kwa wachezaji kwa mpira ambao wameuonesha na hakika amefurahi sana kwani mpira aliokuwa akitamani kuuona leo ameuona.

"Ni heshima kubwa kwa nchi yetu,hongereni wachezaji,hongereni wote ambao mmefanikisha ushindi .Kwanu nimefurahi sana na leo nilisema sitaenda uwanjani ili niuone hapa hapa Ikulu.

"Ni heshima kubwa kwa nchi yetu," amesema Rais Magufuli huku akieleza matokeo ya Lesotho na Cape Verde nayo yamemfurahisha kwani yameivusha Tanzania kwenda Misri,"amesema Rais Magufuli.


Hivyo makala KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM

yaani makala yote KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/03/kauli-ya-rais-magufuli-baada-ya-taifa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA TAIFA STARS KUIFUNGA TIMU YA TAIFA YA UGANDA...RIDHIWANI ATUMA MAOMBI MAALUM"

Post a Comment