CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019

CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019 - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019
kiungo : CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019

soma pia


CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinatoa pongezi kwa Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu, Taifa Stars, pamoja na makocha wao wakiongozwa na Ndugu Emmanuel Amunike, kwa ushindi mnono wa magoli 3 dhidi ya Uganda katika mechi iliyochezwa leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Kwa matokeo hayo ambayo sasa yanamaanisha kuwa Tanzania imefuzu na itashiriki Mashindano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AfCON 2019) huko Misri, Taifa Stars imetutoa Watanzania wote kimasomaso na kumaliza kiu na hamu ya muda mrefu ya wapenzi wa soka, baada ya kusubiri kwa miaka 39 kupata nafasi hii tena baada ya kushiriki mashindano hayo mwaka 1980 huko Nigeria.

Ni matumaini yetu kuwa Wachezaji wa Taifa Stars na makocha wao watazichukulia pongezi hizi pamoja na furaha kubwa isiyo kifani waliyonayo Watanzania kama chachu kubwa ya hamasa itakayowapatia ari na mori wa kushindana na timu za mataifa mengine huko Misri baadae mwaka huu na kurejea na matokeo mazuri yatakayowatangaza na kuwauza wao kimataifa na kuinufaisha nchi yetu Tanzania kwa ujumla.

Hongera Taifa Stars, hongera Watanzania. Kila la heri Taifa Stars AfCON 2019.

Imetolewa leo Jumapili, Machi 24, 2019 na;

Tumaini Makene

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema


Hivyo makala CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019

yaani makala yote CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/03/chadema-yaipongeza-taifa-stars-baada-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CHADEMA YAIPONGEZA TAIFA STARS BAADA YA KUFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFCON 2019"

Post a Comment