DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA."

DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA." - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA.", tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA."
kiungo : DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA."

soma pia


DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA."

Mwambawahabari
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh:Felix Lyaniva amewataka wananchi wa Wilaya  ya Temeke kutembelea  banda la Manispaa hiyo katika viwanja vya maonyesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara katika viwanja vya Mwalimu Nyerere saba saba barabara ya Kilwa.




Lyaniva ameyasema hayo leo alipotembelea banda la Manispaa ya Temeke na kusema kuwa Manispaa  hiyo inatoa huduma   mbalimbali ambazo hutolewa ofisini na kuwataka wananchi kufika katika banda hilo ili kupata huduma  hizo.

Aidha ametaja baadhi ya huduma ambazo zinatolewa uwanjani hapo kuwa ni pamoja  Leseni za biashara, vibali  vya ujenzi, ushuru wa huduma za malazi.

Amesema Manispaa imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo ujenzi wa miundo mbinu.

"Wananchi waje wajifunze mambo mbali mbali yanayopatikana  hapa na hawata toka kama walivyo kuja, pia mje kupata maelezo kuhusu vibali vya ujenzi tunataka kujenga Temeke iliyojengwa kwa mpangilio" Amesema.


Hivyo makala DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA."

yaani makala yote DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA." Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA." mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/dc-lyaniva-temeke-imejipanga.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC LYANIVA, "TEMEKE IMEJIPANGA TUNATANGULIZA HUDUMA BORA, NJOONI TUPO SABA SABA.""

Post a Comment