CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI

CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI
kiungo : CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI

soma pia


CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI

SHIRIKA la utu wa mtoto nchini (CDF) limesaini makubaliano na ubalozi wa Nertheland nchini ambayo imetoa jumla ya shilingi milioni 60 zilizolenga kupunguza vitendo dhidi ya watoto na wanawake.

Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi mtendaji wa CDF Koshuma Mtengeti amesema kuwa Netherland wamekuwa marafiki wazuri katika kuhakikisha wanawake na watoto wanaishi huru na hiyo ni kwa kutoa msaada ambayo inasaidia kupinga vitendo hivyo vya ukatili.

Mtengeti amesema kuwa fedha hizo zitatumika katika programu jijini Dodoma katika Wilaya ya Mpwapwa na hiyo ni kutokana na hali ya juu ya ukatili jijini humo.Aidha amesema kuwa maeneo yatakayoangaliwa ni pamoja na kujua vyanzo vya matukio hayo, jinsi ya kufanya kazi na kamati ya kutokomeza matukio hayo na kuwajengea watoto na wanawake uwezo wa kutoa taarifa kuhusiana na matukio hayo.

Aidha amesema kuwa maeneo yatakayoangaliwa ni pamoja na kushirikiana na jeshi la polisi, wanajamii katika kulinda haki za watoto na wanawake pamoja na wanaume katika kushiriki katika kulinda haki na kutoa taarifa dhidi ya vitendo vya ukatili.

Pia amesema kuwa programu hiyo ni kubwa na wamefanya katika makao makuuu ya nchi ili kuweza kutoa taarifa sahihi kwa serikali ili kuweza kupunguza asilimia 40 za ukatili kwa wanawake.

Kwa upande wa balozi wa Netherlands nchini Jeroen Verheul amesema kuwa wanashiriki katika programu hizo ili kuhakikisha haki za wanawake nchini zinalindwa na wanafurahi kufanya kazi na shirika hilo na wana imani malengo ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake yatapungua kwa kiasi kikubwa.


Hivyo makala CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI

yaani makala yote CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/cdf-yapokea-milioni-60-kutoka.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "CDF YAPOKEA MILIONI 60 KUTOKA NETHERLAND KUPINGA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE NCHINI"

Post a Comment