WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF

WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF
kiungo : WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF

soma pia


WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF

Na Lusungu Helela-Dodoma.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameiagiza Bodi ya pili ya Wadhamini ya Mfuko  wa Misitu Tanzania (TaFF) isimamie utekelezaji wa uanzishwaji wa  mradi wa viwanda  vya kusindika, kuchakata  na kufungasha asali katika mikoa inayofuga nyuki ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo na kujenga uchumi wa viwanda

Waziri Kigwangalla ametoa agizo hilo   wakati alipokuwa akizindua  Bodi ya pili ya Wadhamini ya Mfuko wa Misitu Tanzania uliofanyika leo jijini Dodoma.

Kufuatia agizo hilo, Waziri Kigwangalla ameiambia Bodi hiyo kuwa pamoja  na utekelezaji wa maagizo mengine aliyowapatia, suala la uanzishwaji viwanda vya kusindika, kuchakata na kufungasha asali na bidhaa nyingine zitokanazo na ufugaji nyuki katika mikoa ya Tabora, Kigoma, Katavi, Rukwa, Songwe na Mbeya liinapaswa kupewa uzito wa  juu kiutekelezaji.

Waziri Kigwangala ameongeza kuwa ni azma ya Serikali ya awamu ya tano kuifikisha Tanzania katika uchumi wa  kati ifikapo 2025 na kuwa suala hilo lina  umuhimu mkubwa  kwa wafugaji wa nyuki na uhifadhi mazingira..

Ameongeza kuwa endapo suala hilo la viwanda litafanikiwa , itasaida  kuchochea jamii  kuwa mstari wa mbele  kulinda misitu badala ya sasa jamii kujikita kwenye ukataji  miti ovyo hali inayotishia nchi kugeuka kuwa  jangwa kama hatua za haraka hazitachukuliwa. 
 Waziri wa Maliasili na Utalii,Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza  na Wajumbe wa  Bodi ya pili ya Wadhamini  ya Mfuko wa Misitu Tanzania  pamoja na sekretarieti ya Bodi hiyo wakati wa uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika jijini Dodoma. 
 Mwenyekiti wa  Bodi ya pili ya Wadhamini  ya Mfuko wa Misitu Tanzania, Prof. Romanus Ishengoma akitoa neno la shukrani kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Romanus Ishengoma  mara baada ya Waziri Kigwangalla  kuzindua  Bodi hiyo jijini Dodoma.
 Waziri wa Maliasili na Utalii,Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati) akiwa pamoja na Naibu Waziri wa Wizara hiyo,  Mhe. Constantine Kanyasu (kushoto)  wakimkabidhi kabrasha Mjumbe  wa Bodi ya Wadhamini wa Mfuko wa Misitu Tanzania, Tuli Msuya (kulia)  wakati  Waziri Kigwangalla alipokuwa akizindua wa Bodi hiyo jijini Dodoma.


KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>


Hivyo makala WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF

yaani makala yote WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/waziri-kigwangalla-aitega-bodi-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WAZIRI KIGWANGALLA AITEGA BODI YA WADHAMINI YA TaFF"

Post a Comment