MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB

MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB
kiungo : MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB

soma pia


MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB


Na mwandishi wetu, Zanzibar.

Chama cha Ushirika cha Msingi cha Masoko cha Mtule (Mtule AMCOS) kinachojishughulisha na kilimo cha mbogamboga na matunda  kimeweka bayana nia yake ya kuchangamkia fursa za mikopo nafuu inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuwasaidia katika kuendeleza kilimo chao.

Akizungumza wakati ugeni kutoka TADB ulipotembelea kijijini Mtule, Mwenyekiti wa Mtule AMCOS, Mzee Mgana Zidi Khamis amesema kuwa Chama chake kimejidhatiti katika kufikia soko kubwa la matunda na mboga mboga ila wanarudishwa nyuma na uduni wa mtaji pamoja miundombinu ya masoko.

“Tulisikia uwepo wa Benki ya Kilimo ila hatukuwa tunajua namna ya kuwapa, leo tunaamini kuja kwenu kijiji hapa kumefufua matumaini yetu ya kupatiwa mikopo ili kuongeza tija kilimo chetu na kipato chetu kwa ujumla,” alisema.

Akiwasilisha malengo ya safari yao na umuhimu wa Benki hiyo kwa wakulima nchini, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga amesema Serikali iliamua kuanzisha Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kusaidia kukabiliana na mapungufu ya wakulima nchini kote ili kuhuisha upatikanaji wa mikopo katika sekta ya kilimo na kuchagiza mapinduzi katika  kilimo nchini.
 Katibu wa Chama cha Ushirika cha Msingi cha Masoko cha Mtule (Mtule AMCOS), Bw. Ali Fadhil Ali akiongea wakati Benki ya Kilimo ilipotembelea Kijiji cha Mtule kukagua miradi ya kilimo inayohitaji mikopo.
 Mwenyekiti wa Mtule AMCOS, Mzee Mgana Zidi Khamis (kulia) akiwaonesha eneo linaloendelezwa la Chama chao linalojengwa kwa michango wa wanachama. Alioongozana nao ni Mjumbe wa Bodi ya TADB, Bw. Hussein Mbululo (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (katikati).
 Mjumbe wa Bodi ya TADB, Bw. Hussein Mbululo (kushoto) akitoa ushauri kwa Mwenyekiti wa Mtule AMCOS, Mzee Mgana Zidi Khamis (kulia) kuhusu uendelezaji wa miundombinu ya Ofisi ya Chama.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB

yaani makala yote MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/mtule-amcos-wajipanga-kuchangamkia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB"

Post a Comment