Timu mpya ya madaktari kutoka nchini China yaanza kutoa huduma vijijini - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Timu mpya ya madaktari kutoka nchini China yaanza kutoa huduma vijijini, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Timu mpya ya madaktari kutoka nchini China yaanza kutoa huduma vijijinikiungo :
Timu mpya ya madaktari kutoka nchini China yaanza kutoa huduma vijijini
Timu mpya ya madaktari kutoka nchini China yaanza kutoa huduma vijijini
Wananchi wa Shehia ya Banko wakisubiri huduma za matibabu kutoka kwa timu ya madaktari bingwa kutoka China waliofika katika skuli ya sekondari Chumbuni kutoa hudua hizo.
Daktari bingwa wa macho kutoka china Qin Qin akimfanyia uchunguzi wa macho mtoto Nassor Idrisa katika zoezi la kutoa huduma vijiji lililofanyika skuli ya sekondari Chumbuni.
Mzee Abdalla Bakari akielezea matatizo ya afya yake kwa Dkt. He Qibin kutoka China wakati timu ya madaktari hao ilipokua ikitoa huduma za afya katika Shehiya ya Banko skuli ya sekondari Chumbuni (kulia) Dkt. Zulekha Bakari akisaidia tafsiri.
Dkt. Zhou Ziyue kutoka China akimpima sindikizo la damu (Pressure) Mzee. Ali Simai Makame wakati wa zoezi la kuchunguza afya wananchi wa Shehia ya Banko katika skuli ya sekondari Chumbuni.
Picha na Makame Mshenga.
Hivyo makala Timu mpya ya madaktari kutoka nchini China yaanza kutoa huduma vijijini
yaani makala yote Timu mpya ya madaktari kutoka nchini China yaanza kutoa huduma vijijini Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Timu mpya ya madaktari kutoka nchini China yaanza kutoa huduma vijijini mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/timu-mpya-ya-madaktari-kutoka-nchini.html
Related Posts :
Matukio : Hakutakuwa na Upungufu wa Sukari- Dkt Tizeba
Waziri wa kilimo Mhe. Dkt. Charles Tizeba
Serikali imeagiza sukari kiasi cha tani 70,354.35 kutoka nchi za nje lengo likiwa ni kujipan… Read More...
Tokomeza Ujangili /Utalii : Waziri, Dk. Kigwangalla Akabidhi magari kwa Halmashauri 6 kukabiliana na Ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii,Dk.Hamisi Kigwangalla akizungumza na Waandishi wa Habari wakati akikabidhi magari kwa Halmashauri 6 kwa ajil… Read More...
Michezo : Coastal Union yamkabidhi Tuzo ya Heshima Waziri Ummy Mwalimu kwa kuisaidia kurudi ligi kuu
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) kushoto aki… Read More...
Matukio : Mgodi wa Mgongo Gold Mine wawaokoa Wanafunzi 99 wanaosomea chini ya Miti Iramba
Na Jumbe Ismailly IRAMBA
WANAFUNZI 99 wa darasa la awali katika shule ya msingi Kibululu,kata ya Mgongo,tarafa ya Shelui,wilayani Iramba,… Read More...
KUWAIT NA TAASISI YA WAMA ZATIA SAINI MKATABA WA KUWASAIDIA WALEMAVU
Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al-Najem na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, Jumamosi Mei… Read More...
0 Response to "Timu mpya ya madaktari kutoka nchini China yaanza kutoa huduma vijijini"
Post a Comment