title : KAMATI YA KIKAO CHA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA CHAFANA MKOANI DODOMA
kiungo : KAMATI YA KIKAO CHA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA CHAFANA MKOANI DODOMA
KAMATI YA KIKAO CHA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA CHAFANA MKOANI DODOMA
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mussa Zungu akiongoza kikao cha kamati hiyo killichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo walipokea na kujadili taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhusu utekelezaji wa bajeti ya wizara hiyo kwa kipindi cha Julai mpaka Desemba mwaka 2018.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akiwa katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama killichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo wizara yake iliwasilisha taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhusu utekelezaji wa bajeti ya wizara hiyo kwa kipindi cha Julai mpaka Desemba mwaka 2018.pembeni yake ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu.
Hivyo makala KAMATI YA KIKAO CHA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA CHAFANA MKOANI DODOMA
yaani makala yote KAMATI YA KIKAO CHA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA CHAFANA MKOANI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI YA KIKAO CHA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA CHAFANA MKOANI DODOMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/kamati-ya-kikao-cha-kamati-ya-mambo-ya.html
0 Response to "KAMATI YA KIKAO CHA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA CHAFANA MKOANI DODOMA"
Post a Comment