title : MANISPAA YA UBUNGO WAMLILIA AKWILLINA AKWILLIN
kiungo : MANISPAA YA UBUNGO WAMLILIA AKWILLINA AKWILLIN
MANISPAA YA UBUNGO WAMLILIA AKWILLINA AKWILLIN
Mwambawahabari
Uongozi wa Wilaya ya Ubungo umetoa salamu za pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa Marehemu Akwilina Akwilin wakati ulipodhuru nyumbani kwa mlezi wa marehemu Mbezi Jijini Dar es Salaam.
Akiwa nyumbani kwa marehemu Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akiambatana na Mkurugenzi wa Manispaa Ndg John L.Kayombo kwa pamoja wakiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe *Dr Khamis Kigwangala
Wamesema Wilaya ya Ubungo na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ujumla imeguswa na kusikitishwa na kifo cha ghafla cha mwanafunzi huyo ambaye ndoto zake zimezimika na pengine taaluma yake ingelisaidia Taifa hili kwa siku za usoni kwa kweli ni masikitiko Makubwa.
"Naye Mkuu wa Wilaya ya Ubungo amesema nikiwa kiongozi wa Serikali katika Wilaya hii nipo hapa kuhakikisha yale yote ambayo Serikali imehaidi kufuatia kifo hiki hadi maziko ya Marehemu yanatekelezwa" Alisema Kisare Makori
Sisi sote tu wasafiri, Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Imetolewa na :Kitengo Cha Habari na Uhusiano
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.
Hivyo makala MANISPAA YA UBUNGO WAMLILIA AKWILLINA AKWILLIN
yaani makala yote MANISPAA YA UBUNGO WAMLILIA AKWILLINA AKWILLIN Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MANISPAA YA UBUNGO WAMLILIA AKWILLINA AKWILLIN mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/manispaa-ya-ubungo-wamlilia-akwillina.html
0 Response to "MANISPAA YA UBUNGO WAMLILIA AKWILLINA AKWILLIN"
Post a Comment