Mzee Yusuf awaomba wanawake kufuta nyimbo zake - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mzee Yusuf awaomba wanawake kufuta nyimbo zake, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Mzee Yusuf awaomba wanawake kufuta nyimbo zakekiungo :
Mzee Yusuf awaomba wanawake kufuta nyimbo zake
Mzee Yusuf awaomba wanawake kufuta nyimbo zake
Aliyekuwa mwimbaji na Mkurugenzi wa bendi ya Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf amefunguka na kutilia mkazo na kuwaomba watu hususani wanawake ambao bado wana nyimbo zake za Taarab kwenye simu wazifute ili iwe kheri zaidi kwenye imani yake na dini yake.
Mzee Yusuf alisema hayo alipokwenda Babati mkoani Manyara katika harakati ya kuzidi kukutana na watu na kuwaomba wazifute nyimbo zake hizo za Taarab kwa kuwa anaamini zinakwenda kinyume na imani yake.
"Niko Babati kuzidi kuwaomba Waislam wanifanyie 'Ihsaan' ya kuzidi kuniombea dua na kuzifuta nyimbo zangu kwenye simu zao kwa ajili ya dini ya 'Allah' iwe kheri na salama. Wengine nyinyi mpaka sasa simu zenu bado zinabalaa naombeni mzifute kwa ajili ya 'Allah' naona haya simu zikipigwa zikaita hizo nyimbo kwani najisikia vibaya sijui nifanyaje" alisema Mzee Yusuf
Aidha Mzee Yusuf alisema kuwa kwa sasa anaogopa na kuwataka wale ambao wanasema wamemkumbuka kwenye masuala ya uimbaji wa nyimbo za Taarabu waache kumkumbuka kwenye mambo hayo bali wamsaidie kwa kuzifuta nyimbo hizo. Mbali na hilo Mzee amewaomba watu wa vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii kufuta kazi zake zote hizo kwa ajili ya hisani ya 'Allah'
Hivyo makala Mzee Yusuf awaomba wanawake kufuta nyimbo zake
yaani makala yote Mzee Yusuf awaomba wanawake kufuta nyimbo zake Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Mzee Yusuf awaomba wanawake kufuta nyimbo zake mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/mzee-yusuf-awaomba-wanawake-kufuta.html
Related Posts :
Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba
WAZIRIasiekuwa na wizara maalum Mhe: Said Soud Said, akiwaambia wananchi wa Mgogoni kuwa, hakuna uchaguzi mwengine hadi mwaka 2020, m… Read More...
Waziri wa Elimu Profesa Ndalichako Avutiwa na Kituo cha Mafunzo Kwa Vitendo Cha Kikuletwa Wilayani Hai.
Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce Ndalichako(kushoto) akifurahia madhari ya Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Kituo cha ku… Read More...
MAKONDA: ASKARI POLISI WASIO WADILIFU WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA .Mwambawahabari
Makonda akiendesha moja ya pikipiki hizo.
Maria Kaira, Mwambahabari
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewata… Read More...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Afunga Kongamano la Nne Katika Viwanja vya Ngeme Kongwe Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alilifunga Kongamano la Nne la Watanzania Wanaoishi Nje Diaspora, akiwahutubia na k… Read More...
Waziri Haroun Ashiriki Zoezi la Uchumaji Karafuu Kisiwani Pemba.
Waziri wa waNchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria , Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman akiawa na Pak… Read More...
0 Response to "Mzee Yusuf awaomba wanawake kufuta nyimbo zake"
Post a Comment