Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba

Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba
kiungo : Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba

soma pia


Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba

 WAZIRIasiekuwa na wizara maalum Mhe: Said Soud Said, akiwaambia wananchi wa Mgogoni kuwa, hakuna uchaguzi mwengine hadi mwaka 2020, mara baada ya kupewa nafasi na Rais wa Zanzibar, kujitambulisha kwa wananchi, waliohudhuria uzinduzi wa skuli ya Msingi na kati ya Mgogoni, kazi iliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk Ali Mohamed Shein
Katibu  Mkuu wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Khadija Bakar Juma, akizungumza machache, mara baada ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, kuifungua skuli ya msingi na kati ya Mgogoni wilaya ya Wete, ikiwa ni sehemu ya zaiara yake ya siku tano Kisiwani Pemba
 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe: Riziki Pembe Juma, akizungumza kwenye ufunguzi wa skuli ya mpya ya msingi na kati ya Mgogoni wilaya ya Wete kisiwani Pemba, ambapo skuli hiyo, ilizinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi, Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku tano kisiwani Pemba
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, akiwasalimia wanafunzi na waalimu wa skuli ya Msingi na kati ya Mgogoni wilaya ya Wete, mara baada ya kuizindua skuli yao mpya, ikiwa ni sehemu ya ziara yake, ya siku tano kisiwani Pemba
 WANAFUNZI wa  skuli ya Msingi na kati ya Mgogoni wilaya ya Wete, waliohudhuria uzinduzi wa skuli mpya, kazi iliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, ikiwa ni sehemu ya zaiara yake ya siku tano Kisiwani Pemba

Jengo jipya la skuli ya msingi na kati ya Mgogoni wilaya ya Wete, ambalo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, alilizindua, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku tano kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).


Hivyo makala Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba

yaani makala yote Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/yalijiri-wakati-wa-ziara-ya-rais-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Yalijiri Wakati wa Ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Shein Kisiwani Pemba"

Post a Comment