HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI

HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI
kiungo : HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI

soma pia


HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI


Katika hali ya kuchekesha kama si ya kushangaza hivi karibuni, mwanamke mmoja huko Texas nchini Marekani aitwaye Toscha Fay Sponsler mwenye umri wa miaka 33 aliyekuwa amekamatwa na polisi na kufungwa pingu kisha kuwekwa kwenye gari ya polisi hao alijifungua pingu alizokua amefungwa na kuondoka na gari hiyo kwa mwendo wa kasi.
Kabla ya tukio hilo mwanamke huyo alikua amekamatwa kwa kosa la kuiba vitu dukani yaani wakati anafanya shopping na baada ya polisi kumkamata kwa kosa hilo na kumwingiza kwenye gari yao hiyo wakiwa wamemfunga pingu na askari hao kuendelea na shughuli zao nyingine, walishangaa kuona baada ya dakika chache gari yao inaondolewa na mwanamke huyo.
Maaskari hao walijaribu kukimbiza gari hiyo kwa kutumia gari nyingine na baada ya mwendo wa dakika ishirini mwanamke huyo alishindwa kuendelea kuendesha gari hiyo na ndipo maaskari hao walipomkamata na kumtia mbaroni tena.


Hivyo makala HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI

yaani makala yote HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/hii-kalimwanamke-jambazi-aiba-gari-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "HII KALI:MWANAMKE JAMBAZI AIBA GARI YA POLISI"

Post a Comment