UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA...

UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA... - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA..., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA...
kiungo : UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA...

soma pia


UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA...

Saidi Mwamba Kizota (kushoto) na Hamisi Thobias Gaga
Na  Haji Sunday  Manara
Ehhh!! Haya! Na leo naandika tena? Mazoea mengine bana!!  
Ndio, nimeona niandike ujinga wangu ila safari hi naandika kuhusu suala jepesi la wachezaji kuhama timu kubwa moja kwenda timu kubwa nyingine. Hapa nazungumzia Simba na Yanga, aka mapacha Kulwa na Dotto.

Kiuhalisia hili jambo halikuanza leo,limeanza miaka Dahal. Na ukienda katika historia, zamani lilikuwa linakera zaid pengine kupita zama zetu, sababu miaka ya nyuma kabisa, wachezaji walikuwa wakihama upande mmoja kwenda mwingine sababu za kishabiki zaid kuliko sasa, ambapo sababu za kimaslahi zmechukua nafasi kubwa.

Kihistoria mchezaji wa kwanza maarufu kuhama katika  timu hizi ni wajina wangu Haji Omari....Huyu alikuwa sentahafu mahiri sana wa Yanga, lakini akaja kuhamia Sunderland (Simba). Inaarifiwa kwa kitendo chake cha kuhama jinsi kilivyowakera wanayanga,wakaamua kuhakikisha hachezi Simba. Haji akaishia kuuza soda pale Ilala Stadium (Karume).


Baada ya hapo kulikuwa na mtikisiko mkubwa katika  medani ya kabumbu nchini, baada ya anaetajwa kuwa kiungo bora nchini kuwahi kutokea miaka ya 19960  na mwanzoni mwa 1970 ,Gilbert Mahinya kuihama klabu ya Simba na kujiunga na Yanga. Kiungo huyo inatajwa kuwa alinyan'ganywa hadi fenicha alizonunuliwa na Simba,hali iliopelekea kuacha gumzo kubwa nchini. Gilbert anatajwa na mchezaji wa zamani wa Yanga, Pan, Pamba na timu ya Taifa,Mohamed Rishard Adoph, kuwa ndie half back six bora kuwahi kumuona nchini.
Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Yanga enzi hizo
Simba enzi hizo


Hivyo makala UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA...

yaani makala yote UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA... Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA... mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/ukistaajabu-ya-gaga-njoo-uyaone-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UKISTAAJABU YA GAGA, NJOO UYAONE YA KIZOTA..."

Post a Comment