WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA

WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA
kiungo : WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA

soma pia


WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA

  


Benny Mwaipaja, WFM-Dodoma

Wizara ya Fedha na Mipango imeliomba Bunge iidhinishie makadirio ya mapato na matumizi (Bajeti) ya zaidi ya shilingi trilioni 11.757 ili iweze kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2017/2018, kwa mafungu yote 9 yaliyochini ya Wizara hiyo.

Maombi hayo yametolewa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizaya hiyo, Bungeni Mjini Dodoma, leo.

Dkt. Mpango amesema kuwa kati ya fedha hizo, shilingi trilioni 10.328 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shilingi trilioni 1.429 ni kwa ajili ya matumizi ya maendeleo.

Amefafanua kuwa Matumizi ya Kawaida yanajumuisha shilingi bilioni 87.996 kwa ajili ya mishahara, shilingi bilioni 778.612 kwa ajili ya matumizi Mengineyo (OC) na shilingi trilioni 9.461 ni kwa ajili ya kulipa Deni la Taifa na Huduma nyingine.

Aidha, katika fedha za matumizi ya maendeleo, shilingi trilioni 1.382 ni fedha za ndani na shilingi bilioni 46.108 ni fedha za nje.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi (Bajeti) ya Wizara yake ya zaidi ya shilingi trilioni 11.757, Bungeni Mjini Dodoma ili iweze kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2017/2018, kwa mafungu yote 9 yaliyo  chini ya Wizara hiyo. 
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi (Bajeti) ya Wizara yake ya zaidi ya shilingi trilioni 11.757, Bungeni Mjini Dodoma ili iweze kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2017/2018, kwa mafungu yote 9 yaliyo  chini ya Wizara hiyo. 
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi (Bajeti) ya Wizara yake ya zaidi ya shilingi trilioni 11.757, Bungeni Mjini Dodoma ili iweze kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2017/2018, kwa mafungu yote 9 yaliyo  chini ya Wizara hiyo. 
Viongozi waandamizi wa Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Taasisi zake, wakifuatilia kwa makini Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo, Bungeni Mjini Dodoma, ambapo kiasi cha shilingi trilioni 11.757 kimeombwa ili Wizara hiyo iweze kutekeleza majukumu yake ya kuwaletea wananchi maendeleo kwa mwaka wa Fedha 2017/2018. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Albina Chuwa akimpongeza Mhe. Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), kwa uwasilishaji makini wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.





Hivyo makala WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA

yaani makala yote WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/wizara-ya-fedha-na-mipango-yawasilisha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI MJINI DODOMA"

Post a Comment