SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA

SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA
kiungo : SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA

soma pia


SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA

Klabu ya Soka ya Simba yenye maskani yake Msimbazi jijini Dar es Salaam imepongezwa na Kampuni yakubashiri nchini ya SporPesa baada yakufanya vyema kwa kufuzu Robo Fainali ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika. 

Simba SC kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, imethibitisha kuwa SportPesa kutoa kiasi cha pesa cha 50,000,000/= kama pongezi baada yakutinga hatua ya Robo Fainali ya Michuano hiyo mikubwa barani Afrika kwa ngazi ya klabu.

Taarifa hiyo imesema: "Mkurugenzi wa Utawala na Udhibiti wa Sportpesa, Tarimba Abbas ameipongeza timu hiyo kutinga hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya CAF ambapo amethibitishwa kuwa Kampuni hiyo itakabidhi kiasi cha Tsh 50,000,000/= kama zawadi Kimkataba".

Simba SC  ilifuzu hatua hiyo baada yakuifunga AS Vita lub bao 2-1 kwenye dimba la Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam, hata hivyo Mnyama atasubiri droo ya Robo Fainali ya Michuano hiyo itakayopangwa majira ya Saa 2 Usiku, nchini Misri kujua anakabitiana na nani katika Robo Fainali.



Hivyo makala SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA

yaani makala yote SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/03/simba-sc-yazoa-milioni-50-sportpesa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SIMBA SC YAZOA MILIONI 50 SPORTPESA"

Post a Comment