VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA

VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA
kiungo : VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA

soma pia


VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA

Mtaalam Manunuzi,Bw. Jones Mapunda kutoka Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahakama, akitoa mafunzo ya Usimamizi wa Mikataba kwenye ukumbi wa kitengo hicho.
Baadhi ya viongozi wa Mahakama ya Tanzania na Watumishi wakiwa katika mafunzo ya Usimamizi wa Mikataba yaliyofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahakama.
Mtaalam Manunuzi,Bw. Jones Mapunda kutoka Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahakama, akitoa mafunzo ya Usimamizi wa Mikataba kwenye ukumbi wa kitengo hicho kwa viongozi na Watumishi wa Mahakama. (Picha na Magreth Kinabo).
Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahakama, Mhe. Zahra Maruma akifafanua jambo wakati wa mafunzo ya Usimamizi wa Mikataba yaliyofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahakama.
Mtendaji wa Mahakama ya Rufaa, Bw. Solanus Nyimbi akifunga mafunzo ya Usimamizi wa Mikataba yaliyofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahakama.


Hivyo makala VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA

yaani makala yote VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/viongozi-na-watumishi-wa-mahakama.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "VIONGOZI NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIKATABA"

Post a Comment