- Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa , tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title :
kiungo :

soma pia


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.

Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamii
MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ameutahadharisha umma wa jiji la Dar es salaam kuhusiana na utapeli wa nyumba hasa kwa baadhi ya watu kutumia hati wasizo na miliki nazo kuomba mikopo mikubwa katika benki.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Makonda amesema "baadhi ya watu hukopa fedha na kuacha hati zao za nyumba kama bondi lakini wale walioachiwa hugeuka na kutumia hati hizo kwa kuomba mikopo mikubwa katika mabenki na wakishindwa kulipa watu wasiohusika na madeni hayo huusishwa hasa kwa nyumba zao kuuzwa" amesema Makonda. Sambamba na Makonda amempongeza Waziri ya Ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi William Lukuvi kwa kusimamia suala la hati za kidigitali ambazo huweza kutambua hati kieletroniki.

Aidha ameeleza kuwa wale wote wenye mikopo wasiyoielewa katika mabenki mbalimbali kuanzia jumatatu wakaripoti kwenye ofisi za wakuu wa Wilaya na baadaye Seeikali ya Mkoa itakutana benki zote 56 na kujadili suala hilo ambalo linaibia mabenki na kupoteza mali na haki za makazi kwa wananchi.

Pia amewataka Wakazi wa Mkoa wa Dar es salaam hasa wa Wilaya ya Kinondoni ambako kuna kesi zaidi ya 500 za watu kuuziwa nyumba zao bila kutokuwa na mikopo katika mabenki kutumia nafasi hiyo ili kuepuka kughudhibiwa na kufilisiwa mali zao na amewashauri wananchi kuwa makini kwa kutunza hati hizo.

Kuhusiana na uchaguzi wa marudio unaotarajia kufanyika kesho katika jimbo la Ukonga na kata 2 jijini humo Makonda amesema kuwa uchaguzi huo utakuwa wa amani kwani kamati ya ulinzi na usalama imejipanga vyema hivyo wananchi wasiwe na shaka wafuate taratibu na baada ya uchaguzi washangilie kwa amani bila fujo ili kulinda amani ya jiji ambalo ni kitovu cha biashara na utalii.


Hivyo makala

yaani makala yote Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/mkuu-wa-mkoa-wa-dar-es-salaam-paul.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to " "

Post a Comment