Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa

Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa
kiungo : Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa

soma pia


Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa

Na Agness Francis, Globu ya jamii.

IKIWA imebaki masaa machache tu kikosi cha Yanga kushuka dimbani  katika mchezo wao wa kwanza wa ligi kuu Tanzania bara msimu huu 2018-19.         

Mabingwa hao wa kihistoria mara 27 watamenyana na wakatamiwa wa mkoa wa Morogoro  mtibwa sugar, ambapo msimu huu ligi inatarajia kuwa na ushindani kutokana na maandalizi yaliyofanywa kwa kila kikosi,  vilevile pia ongezeko la timu kutokea 16 hadi 20 litaleta msisimko.
   
Yanga iliyoweka kambi ya wiki mbili Mkoani Morogoro imerejea upya kwa nguvu zaidi baada ya kuichapa USM Alger mabao 2-1 katika mchezo wa wa Kombe la shirikisho,ambapo magoli ya Yanga yalifungwa na Deus Kaseke pamoja na Heritier Makambo mchezaji nyota raia wa Kongo.    

Msimu uliopita kikosi cha Yanga kilikuwa na wakati mgumu kwa wachezaji wake waandamizi  kuwa  majeruhi wa  mara kwa mara kwa wacheza  mpaka kupelekea timu  kushiriki mashindano mengi ikiwa na kikosi finyu.

"Sipendi  kuliona hilo litokee tena msimu huu, nitaakikisha angalau asilimia 80%  ya wachezaji wanakuwa na utimamu wa kimwili na naamini kutwaa ubingwa  msimu huu  kwa kuwa kikosi changu kipo vizuri na kipana"amesema kocha mkuu Zahera raia wa Kongo. 

Wachezaji wa yanga  watakaokuwa sehemu ya mchezo huo dhidi mtibwa ni 1 Claus Kindoki,2Juma Abdu,3Gadiel Michael,4Vicent Andrew,5Kelvin Yondan,6Papy  Kabamba,7Mrisho Ngasa,8 Feisal Aballa (Fei toto),9Heritier Makambo,10 Ibrahim Ajibu, pamoja na Deus Kaseke anaevalia  jezi namba 11.

Mchezo huo unatarajia kuchezwa leo majira ya Saa 12jioni katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam kwa kiingilio cha VIP A 10000,VIP B 3000,na kwa viti vingine vilivyobaki ni 1500.


Hivyo makala Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa

yaani makala yote Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/yanga-scmtibwa-sugar-vuta-ni-kuvute.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Yanga sc,Mtibwa Sugar vuta ni kuvute katika dimba la Taifa"

Post a Comment