DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO

DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO
kiungo : DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO

soma pia


DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO


Na Heri Shaaban
Mwambawahabari 
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema kesho anaanza ziara ya wiki moja katika jimbo la Segerea,dhumuni la ziara hiyo kutatua kero za Wananchi wa ngazi ya kata hadi mtaa.


Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo alisema kuwa,ameweka utaratibu wa kufanya ziara ya kuzungumza na wanachi wake kushuka kusikiliza kero zao .

"Huu ni mwendelezo wa ziara zangu ndani ya wilaya hii ambayo ilianzia Jimbo la Ukonga na sasa inamia Jimbo la Segerea kuanzia Septemba 18  hadi 24 kutatua kero za 
  wananchi"alisema 
Mjema



Hivyo makala DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO

yaani makala yote DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/dc-mjema-kuanza-ziara-jimbo-la-segerea.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC MJEMA KUANZA ZIARA JIMBO LA SEGEREA KESHO"

Post a Comment