BODABODA, BAJAJI, TAXI KUSHINDWA KULETA HESABU NA KUKUSABABISHIA HASARA, NINI UFANYE KISHERIA. - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BODABODA, BAJAJI, TAXI KUSHINDWA KULETA HESABU NA KUKUSABABISHIA HASARA, NINI UFANYE KISHERIA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
BODABODA, BAJAJI, TAXI KUSHINDWA KULETA HESABU NA KUKUSABABISHIA HASARA, NINI UFANYE KISHERIA.kiungo :
BODABODA, BAJAJI, TAXI KUSHINDWA KULETA HESABU NA KUKUSABABISHIA HASARA, NINI UFANYE KISHERIA.
BODABODA, BAJAJI, TAXI KUSHINDWA KULETA HESABU NA KUKUSABABISHIA HASARA, NINI UFANYE KISHERIA.
Na Bashir Yakub
Sio siri wengi waliowekeza kwenye biashara ya bajaji,bodaboda,taxi na hata daladala wamejuta kufanya hivyo. Wengi wameingia hasara na mambo hayakuwa kama walivyotarajia. Na niamini,waliomo leo kwenye hiyo biashara sio wale walioanza, bali ni wageni kwani walioanza walishaacha siku nyingi kuepuka kichwa kuuma.
Sasa yafaa tuzingatie mambo kadhaa ya kisheria ili kuona namna gani unaweza kudhibiti biashara hii na hata ikikushinda isikushinde ukiwa mwenye kupoteza(looser).Katika kufanya hivyo tutizama mambo mawili, kwanza Mkataba, na pili Udhamini.
1.MKATABA.
Eneo la mkataba au makubaliano ni eneo muhimu sana tangu unapowaza biashara hii. Mkataba ndiyo tafsiri ya uhusiano wako na huyo unayemkabidhi chombo. Popote, na wakati wowote mtakapotofautiana rejea yenu ya kwanza ni mkataba. Mkataba ndio biashara yenyewe, na hivyo uimara wa mkataba utatambulisha uimara wa biashara, halikadhalika udhaifu wa mkataba huenda ukawa ndio udhaifu wa biashara.
Na uimara wa mkataba ni sehemu kuu mbili. Kwanza mfumo, na pili maudhui/vipengele. Mfumo ni lazima mkataba uwe katika muundo mzuri wa sheria. Kifungu cha 10 cha Sheria ya Mikataba, Sura ya 345 kinasema mkataba mzuri ni ule ambao umefanywa na watu stahili kufanya mkataba(partie’s competence), wenye hiari huru(free consent), wakibadilishana vitu halali(lawful object and consideration ), na kile wanachokubaliana kiwe hakijakatazwa na sheria nyingine yoyote. Kwahiyo mfumo mzuri wa mkataba utategemea haya. KUSOMA ZAIDI NENDA sheriayakub.blogspot.com
Hivyo makala BODABODA, BAJAJI, TAXI KUSHINDWA KULETA HESABU NA KUKUSABABISHIA HASARA, NINI UFANYE KISHERIA.
yaani makala yote BODABODA, BAJAJI, TAXI KUSHINDWA KULETA HESABU NA KUKUSABABISHIA HASARA, NINI UFANYE KISHERIA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BODABODA, BAJAJI, TAXI KUSHINDWA KULETA HESABU NA KUKUSABABISHIA HASARA, NINI UFANYE KISHERIA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/bodaboda-bajaji-taxi-kushindwa-kuleta.html
Related Posts :
MSAMAHA WA RAIS KWA WAFUNGWA KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 53 YA MUUNGANO WA TANZANIA
Katika kuadhimisha Miaka 53 ya Muungano wa Tanzania tarehe 26 Aprili, 2017 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutumia … Read More...
Habari : Pitia Vichwa vya Habari vya Mgazeti ya Leo, 26:04:2017
Wazalendo 25 Blog , is a Social Media which gives our Audience current News, Entertainment and Advertisements… Read More...
Zanzibar / Afya : Zanzibar Yajiandaa Kumaliza Kabisa Malaria 2023
Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dkt, Fadhil Mohd Abdalla akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya Harusi Said Suleiman kuzungumza na … Read More...
HALI YA USALAMA KIBITI SASA NI SHWARI, VYOMBO VYA DOLA VYAENDELEA NA KAZI - RC NDIKILO
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
MWENYEKITI wa kamati ya ulinzi na usalama mkoani Pwani, mhandisi Evarist Ndikilo, amewahakikishia wananchi kuwa h… Read More...
Matukio : Serikali yawataka Waajiri Kuhakikisha Mitambo na Vifaa vya Kazi Vinafanyiwa Ukaguzi mara kwa Mara
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Vijana), Mhe. Antony Mavunde akitoa hotuba yake wakati wa mkutano na waandishi wa habar… Read More...
0 Response to "BODABODA, BAJAJI, TAXI KUSHINDWA KULETA HESABU NA KUKUSABABISHIA HASARA, NINI UFANYE KISHERIA."
Post a Comment