MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA

MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA
kiungo : MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA

soma pia


MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA

Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) Tawi la Tanzania kwa kushirikiana na Internews Tanzania wameendesha mafunzo kwa waandishi wa Habari Kanda ya Kaskazini/Magharibi (Geita, Shinyanga na Simiyu) kuhusu Changamoto za Sheria mpya za habari.

Mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza Agosti 17,2018 hadi Agosti 18,2018 yanafanyika katika ukumbi wa Alpha Hotel Mjini Geita.

Akifungua Mafunzo hayo,Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) Tawi la Tanzania, Sengiyumva Gasirigwa alisema kupitia mafunzo hayo waandishi wa habari watajengewa uelewa kiuhusu sheria mbalimbali zinazohusu vyombo vya habari na waandishi wa habari na namna waandishi wa habari wanavyoweza kuishi na sheria hizo. 

"Lengo ni kuwajengea uwezo waandishi wa habari na kuangalia changamoto zinazotolewa na sheria hizi sambasamba na kukumbushana miiko ya uandishi wa habari lakini pia kufahamu nafasi ya mwandishi wa habari kama mtetezi wa haki za binadamu",alisema.

Naye Afisa Mradi wa Boresha Habari kupitia Shirika la Internews linalofadhiliwa na USAID Victoria Rowan aliwasihi waandishi wa habari waliopata fursa ya kushiriki mafunzo hayo kutumia vyema elimu wanayopewa. 
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) Tawi la Tanzania, Sengiyumva Gasirigwa akifungua mafunzo ya siku mbili kwa waandishi wa habari mikoa ya Geita Shinyanga na Simiyu kuhusu Sheria za vyombo vya habari katika ukumbi wa Alpha Hotel Mjini Geita - Picha zote na Kadama Malunde & Joel Maduka 
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) Tawi la Tanzania, Sengiyumva Gasirigwa akielezea malengo ya semina hiyo 
Afisa Mradi wa Boresha Habari kupitia Shirika la Internews Victoria Rowan akielezea jambo ukumbini.



Hivyo makala MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA

yaani makala yote MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/misa-tanzaniainternews-zawanoa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MISA TANZANIA,INTERNEWS ZAWANOA WAANDISHI WA HABARI GEITA,SIMIYU NA SHINYANGA"

Post a Comment