title : DC MURO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA
kiungo : DC MURO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA
DC MURO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA
MwambawahabariMkuu wa wilaya ya Arumeru Mh.Jerry Muro amefanya ziara ya kushtukiza katika baranara ya mchepuko Arusha Bypass katika eneo la muungano Makumira na kubaini uwepo wavitendo vinavyoashiria ukiukwaji wa taratibu za kazi na haswa katika kazi zinazofanywa na RAIA kutoka nje.
Mhe. Muro Pamoja nakuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa barabara hiyo itakayosaidaia kupunguza msongamao wa magari kuelekea Jijini Arusha ameonyeshwa kukerwa na tabia ya baadhi ya wageni kufanya kazi zinazoweza kufanywa na watanzania jambo linaloendela kuminya fursa ya vijana wa kitanzaia kupata ajira.
Kutoka na sababu hiyo Dc Muro alilazimika kuchukua hatua ya kuwaagiza maofisa wa Uhamiaji kufuatilia suala hilo jambo lililopelekea kubainika uwepo wa RAIA Tisha ( 9 ) wa kigeni wanaofanya kazi hizo pasipo kuwepo na baadhi ya vibali husika vya kufanya kazi.
Katika ziara hiyo Dc Muro aliambatana na Naibu katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhandisi Steven Mlote ambao ni waratibu wa ujenzi wa Barabara hiyo.
Dc Muro anaendelea na zoezi la ukaguzi wa miradi mbalimbali ya ujenzi katikaa wilaya ya Arumeru yenye kata 53 na Halmashauri mbili za Arusha Dc na Meru Dc.
Imetolewa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meru
Hivyo makala DC MURO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA
yaani makala yote DC MURO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DC MURO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/dc-muro-afanya-ziara-ya-kushtukiza.html
0 Response to "DC MURO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA"
Post a Comment