title : RC MAHENGE AFANYA ZIARA WILAYA YA KONDOA
kiungo : RC MAHENGE AFANYA ZIARA WILAYA YA KONDOA
RC MAHENGE AFANYA ZIARA WILAYA YA KONDOA
Waziri Mkuu Mstaafu, John Samwel Malecela (mwenye kofia ya njano) akimuonesha Mkuu wa Mkoa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge mizabibu iliyopandwa kwenye shamba la Chinangali II Wilayani Chamwino wakati wa Ziara ya Dkt. Mahenge Wilayani humo.
Mkuu wa Mkoa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge na ujumbe alioambatana nao wakipata maelezo juu ya mashine ya kusukumia maji kwa ajili ya umwagiliaji wa matone kwenye shamba la zabibu la Chinangali II Wilayani Chamwino wakati wa Ziara ya Dkt. Mahenge Wilayani humo.
Mkuu wa Mkoa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge na ujumbe alioambatana nao wakikagua bwawa la kutunzia maji kwa ajili ya umwagiliaji wa matone kwenye shamba la zabibu la Chinangali II Wilayani Chamwino wakati wa Ziara ya Dkt. Mahenge Wilayani humo.
Mkuu wa Mkoa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge akikagua nyaraka na kusikiliza kero za wananchi kwenye mkutano wa hadhara Kijiji cha Manzase Wilayani Chamwino wakati wa ziara yake.
BOFYA HAPA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Hivyo makala RC MAHENGE AFANYA ZIARA WILAYA YA KONDOA
yaani makala yote RC MAHENGE AFANYA ZIARA WILAYA YA KONDOA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala RC MAHENGE AFANYA ZIARA WILAYA YA KONDOA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/rc-mahenge-afanya-ziara-wilaya-ya-kondoa.html
0 Response to "RC MAHENGE AFANYA ZIARA WILAYA YA KONDOA"
Post a Comment