KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM
kiungo : KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM

soma pia


KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM

.
Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, Susan Kiwanga, akichangia hoja katika taarifa hiyo, ya utendaji wa shirika hilo. 


Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, Charles Kitwanga (kulia), akichangia hoja katika taarifa hiyo, ya utendaji wa shirika hilo.  
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Sekta ya Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, akitoa maelezo zaidi kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, kuhusu utekelezaji wa taarifa hiyo. Katikati ni Mwenyekiti wa kamati hiyo, Moshi Seleman Kakoso na kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika, Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Moshi Seleman Kakoso, akitoa maelekezo kwa uongozi wa Shirika la Posta wakati akihitimisha mkutano huo. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Sekta ya Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye na kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika, Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, wakiwa katika picha ya pamoja kionesha alama ya dole gumba ikiwa ni ishara ya kuunga mkono kauli mbiu ya Shirika ya 'Lets Go' mara baada ya kumaliza ziara yao kwenye shirika hilo, Makao Makuu ya Shirika la Posta Tanzania.


Hivyo makala KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM

yaani makala yote KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/kamati-ya-bunge-ya-miundombinu_10.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM"

Post a Comment