AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI

AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI
kiungo : AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI

soma pia


AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI

NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso ameamuru kuwekwa ndani wakandarasi wanaotekelezwa mradi wa maji yenye thamani ya zaidi ya bilioni tatu eneo la mkata wilayani Handeni baada ya kushindwa kuwepo kwenye eneo la mradi licha ya kupewa taarifa za uwepo wa ziara yake. 

Wakandarasi ambao walilazimika kuwekwa ndani ni Mkandarasi wa Kampuni ya Tansino Logistick Limited ya Dar Abdul Ismail na Charles Stephano ambaye ni mkandarasi wa ujenzi huku Chales Tarimbo mshauri Mkandarasi naye akikumbana na kadhia hiyo. 

Agizo hilo alilitoa leo wakati wa ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi ya maji inayotekelezwa kwenye kata ya Mkata wilayani Handeni ambapo miradi hiyo mitatu ilikuwa ikigharimu zaidi ya sh.bilioni tatu. 

Akiwa kwenye eneo hilo Naibu Waziri huyo alisema haiwezekani wabunge wanaomba miradi ya maji na serikali inatenga lakini watu wachache wanatumia fedha hizo kwenye matumizi kwa maslahi yao binafasi na kuwafanya wananchi kuendelea kuteseka na tatizo la maji. 

Alisema kutokana na kuwepo kwa tabia hiyo ambayo imekuwa ikirudisha nyuma juhudi kubwa zinazofanywa serikali hawatavumiliwa badala yake watahakikisha wanachukuliwa hatua kali za kisheria ili kuweza kukomesha vitendo vya namna hiyo kwenye jamii. 
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso kulia akimsikiliza kwa umakini Mkuu wa wilaya ya Handeni Godwin Gondwe mara baada ya kutembelea mradi wa Maji eneo la Mkata katikati ni Mkurugenzi wa Mtendaji wa wilaya ya Handeni William Makufwe
 Wakandarasi ambao Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso aliotaka wawekwe ndani wakiwa chini ya ulinzi 
 Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso wa pili kutoka kushoto akiwa na Mkuu wa wilaya ya Handeni kulia wakati wakitembelea miradi ya maji wilayani humo wakati wa ziara yake kulia ni Mkurugenzi wa Mtendaji wa wilaya ya Handeni William Makufwe kushoto ni Diwani wa Kata ya Mkata
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akiwa amepanda juu kwenye tenki eneo la mkata kulikagua wakati wa ziara yake,kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Handeni Godwin Gondwe 
Mkurugenzi wa Mtendaji wa wilaya ya Handeni William Makufwe akimueleza jambo Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso mara baada ya kutembelea miradi ya maji kwenye eneo la Mkata katikati ni Mkuu wa wilaya ya Handeni Godwin Gondwe akifuatilia kwa umakini.



Hivyo makala AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI

yaani makala yote AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/aweso-amuru-kuwekwa-ndani-wakandarasi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "AWESO AMURU KUWEKWA NDANI WAKANDARASI WA MRADI WA MAJI HANDENI KWA KUSHINDWA KUWEPO ENEO LA MRADI"

Post a Comment