SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI

SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI
kiungo : SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI

soma pia


SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI


 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na wageni waalikwa waliofika katika uzinduzi wa hafla Maalum ya Ujenzi wa Vyoo Bora kwa Maendeleo ya Mtoto wa kike nchini ya Kuchangisha fedha iliyofanyika jana katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Ambapo kiasi cha Shillingi Billioni 1. 4 ziliweza kupatikana kwa siku ya jana
 Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan(kushoto) na Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) wakifurahia maonyesho ya Waheshimiwa Wabunge (hawapo kwenye picha) ikiwa ni moja ya njia ya kuhamasisha Ujenzi wa Vyoo Bora kwa Maendeleo ya Mtoto wa kike nchini ya Kuchangisha fedha iliyofanyika jana katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Ambapo kiasi cha Shillingi Billioni 1. 4 ziliweza kupatikana kwa siku ya jana
 Waheshimiwa Wabunge wakiingia kwa kuimba wakati wa Maonyesho yao ikiwa ni njia ya kuhamasisha Ujenzi wa Vyoo Bora kwa Maendeleo ya Mtoto wa kike nchini ya Kuchangisha fedha iliyofanyika jana katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Ambapo kiasi cha Shillingi Billioni 1. 4 ziliweza kupatikana kwa siku ya jana
 Mgeni rasmi Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa tatu kulia), Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) wakishikilia hundi ya sh. Millioni 100 waliopewa na kampuni ya Uchimbaji Madini ya GEITA GOLD MINING mchango wao kuhamasisha Ujenzi wa Vyoo Bora kwa Maendeleo ya Mtoto wa kike nchini ya Kuchangisha fedha iliyofanyika jana katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Ambapo kiasi cha Shillingi Billioni 1. 4 ziliweza kupatikana kwa siku ya jana
Mbunge wa Viti Maalum CCM, Mhe. Lucy Mayenga akiwapungia mkono wageni waalikwa wakati wa Maonyesho ya mavazi yaliyotolewa na baadhi ya Waheshimiwa Wabunge kama njia ya kuhamasisha Ujenzi wa Vyoo Bora kwa Maendeleo ya Mtoto wa kike nchini ya Kuchangisha fedha iliyofanyika jana katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Ambapo kiasi cha Shillingi Billioni 1. 4 ziliweza kupatikana kwa siku ya jana 
 Mbunge wa Viti Maalum CCM, Mhe. Vicky Kamata na Waheshimiwa wenzake wakiwaburudisha wageni waalikwa na Wabunge katika onyesho la kuimba lililoandaliwa na baadhi ya Waheshimiwa Wabunge kama njia ya kuhamasisha Ujenzi wa Vyoo Bora kwa Maendeleo ya Mtoto wa kike nchini ya Kuchangish​​a fedha iliyofanyika jana katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)


Hivyo makala SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI

yaani makala yote SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/spika-ndugai-aongoza-harambee-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA MAENDELEO YA MTOTO WA KIKE NCHINI"

Post a Comment