JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI

JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI
kiungo : JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI

soma pia


JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI


Na. John Luhende 
 Mwambawahabari
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Suleiman Jafo amepiga marufuku uchimbaji wa mchanga katika mito  mkoani Dar es Salaam ili Kuzuia uharibifu wa mazingira na Kuzuia mito kupanuakingozake na kuvamia makazi ya watu.
 Waziri Jafo Ameyasema katika ziara yake ya Wilayani Ilala kutembelea maeneo na miundombinu  iliyo atharika na mvua zinazoendelea kunyesha  Jijini Dar es Salaam, ambapo alipofika kukagua Daraja lililo so mbwa na Mafuriko mto msimbazi eneo la Ulongoni, amewakutawananchi  wakiendelea na shughuli za  uchimbaji mchanga na kutangaza marufuku hiyo.

"Mhe. DC nakuagiza  kuanzia sasa kamata mtu yeyote utakaye mkuta anachimba mchanga maeneo ya mito, hawa ndiyo wanaosababisha uharibifu huu, serikali inatumia fedha nyingi Sana kujenga Madaraja halafu mtu anachimba tu bila kujali"  alisema
 Amesema, Serikali inafanya jitihada ya kujenga Madaraja yaliyobomoka ili wananchi waweze kuendelea na shughuli zao za kiuchumi ambapo sasa wanashindwa kuvuka.

"Nimezunguza na Waziri wa Ulinzi ili Jeshi la wananchi watusaidie kuweka Madaraja ya muda wakati tunajiandaa kujenga mengine,  wananchi poleni naomba mvumilie kwa muda " alisema

Aidha Jafo ametembelea Kituo cha Mabasi ya  Mwendo Kasi UDART  katika eneo la Jangwani na kuagiza Mabasi yasiyo egeshwe eneo hilo ili kuepuka uharibifu utakaowaza kusababishwa na Mafuriko.
"Nakumbuka nili agiza Mabasi yasilazwe hapa lakini na Shangaa mafuriko ya juzi niliona Mabasi yana elea, ila nashukuru kwamba mmenieleza kuwa hayo ni mabovu  na mmeshaondoa vitu muhimu, sawa." alisema

Hatahivyo, amesema Serikali ipo katika mpangaji wa kuchimba mto msimbazi na eneo la Jangwani hadi Bahari ni ili kuweza kuweka Suruhisho la kudumu  la Mafuriko katika eneo hilo.

Kwa upande wake  Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema , amemtembeza  Waziri katika maeneo ambapo Madaraja yamesombwa  na Maji, katika eneo la Ulongoni A, Ulongoni B na Pugumachinjioni, na kumueleza athari za mafuriko  Wilayani humo na kumshukuru kwa hatua alizochukua kuhakikisha  mawasiliano yanarejea maeneo ambapo yalikatika.



Hivyo makala JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI

yaani makala yote JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/jafo-apiga-stop-uchimbaji-mchanga.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JAFO APIGA STOP UCHIMBAJI MCHANGA KATIKA MITO DAR, MADARAJA YALIYOZOLEWA NA MAFURIKO ILALA, KUJENGWA NA JESHI"

Post a Comment