Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba

Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba
kiungo : Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba

soma pia


Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba

 Waziri wa kazi , Uwezeshaji , Wazee, Vijana , Wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maudline Cyrus Castico, akifunguwa mradi wa maji safi na salama , ikiwa ni miongoni mwa madhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar., huko Kifundi Wilaya ya Micheweni Pemba.
 Waziri wa Kazi, Uwezeshaji , Wazee , Vijana , Wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar , Maudline Cyrus Castico, akiwasha Switch ya Umeme kuashiria mradi uko tayari kwa kuanza matumizi ya maji safi na Salama katika mradi wa maji safi na Salama huko Kifundi Wilaya ya Micheweni 
 Waziri wa Kazi, Uwezeshaji , Wazee , Vijana , Wanawake na watoto wa Serikali ya Mapindduzi Zanzibar , Maudline Cyrus Castico, akizungumza na Wananchi na Viongozi mbali mbali waliohudhuria katika sherehe hiyo ya ufunguwaji wa mradi wa maji safi na salama ikiwa ni miongoni mwa madhimisho ya sherehe za miaka 54 ya Mapinduzi Zanzibar.

Baadhi ya Wananchi wa Kifundi, Wilaya ya Micherweni wakimsikiliza  Waziri wa Kazi, Uwezeshaji , Wazee , Vijana , Wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar , Maudline Cyrus Castico, alipokuwa akizungumza nao

PICHA NA MASANJA MABULA-PEMBA.


Hivyo makala Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba

yaani makala yote Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/waziri-castico-azindua-mradi-wa-maji.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Waziri Castico azindua mradi wa maji safi na salama katika maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi Kifundi, Micheweni Pemba"

Post a Comment