MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI

MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI
kiungo : MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI

soma pia


MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI

Mkuu wa shule ya Sekondari Halisi Jacob Mosha, akiwa katika kikao na Afisa Elimu Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo amesimamishwa kazi  kupisha  uchunguzi baada ya kubainika akichangisha wanafunzi michango(Picha na John Luhende) 

Na John Luhende  
Mwambawahabari 
Mkuu wa shule ya Sekondari Halisi, iliyopo Kata ya Majohe Jacob  Mosha, pamoja  Afisa elimu kata ya Majohe Nancy Peter, wamesimamishwa kazi  kwa kosa la kuchangisha michango wanafunzi wa shule hiyo shilingi 2500 ya kitambulisho, na Nembo ya shule shilingi 4000.

Akizungumza  shuleni hapo, Afisa Elimu wa mkoa wa Dar es Salaam, Hamis Lisu, amesema Mwalimu huyo amesimamishwa ili kupisha uchunguzi.

Lissu , akiwa  ameambatana na Afisa Elimu Wilaya Elizabeth Ngonyani, na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala,  Palela Msogela, baada ya kuzungumza na walimu na wanafunzi shuleni hapo  wamesema wanapata  vitisho kutoka  kwa Mkuu  huyo kuwa atakaye  sema  atafukuzwa ama kuhamishwa  shule.

Amesema, kuchangia mchango wanafunzi ni kinyume cha Sheria  waraka namba 3 wa elimu bila malipo  wa  mwaka 2016.

"Pamoja na kuwepo waraka huu  nimekuta nimewasisitiza  walimu kutowachangisha wanafunzi  kama vile haitoshi  juzi tena baada ya  Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe kulizunguza na kulitilia mkazo nimetuma Barua kwa Wakurugenzi kuwataka wote walikuwa  wamepewa vibali vya kuchangisha waache mara moja  kwakuwa  mkuu wa mkoa alivifuta vyote". Amesema Afisa Elimu.

Pamoja na hayo amesema ataunda Kamati ikiongozwa na yeye na Mkurugenzi, itaanza kazi ya uchunguzi Juma tatu tarehe 29 January na Mkuu wa shule na Afisa Elimu kata  ili kupisha uchunguzi wa Kamati  na pia amemwaagiza  Mkurugenzi kutafuta mtu wakukaimu nafasi ya Mratibu kata.

Pia amewataka walimu  ambao wanatishiwa maisha na Mkuu wa shule kubakia shule hapo na atakaye tishiwa  atoe taarifa kwake.

Hata hivyo Mwalimu huyo amejitetea kuwa amewarudishia fedha zao wanafunzi wote aliwachangisha, na wanafunzi nao wameuthibitishia kurudishiwa fedha zao.
  .


Hivyo makala MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI

yaani makala yote MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/mkuu-wa-shule-na-afisa-elimu-kata-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKUU WA SHULE NA AFISA ELIMU KATA WA INGIA MATAWAN KWA KUTOZA MICHANGO WANAFUNZI"

Post a Comment