Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini

Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini
kiungo : Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini

soma pia


Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini

Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyelazwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya.

Rais Mwinyi akiambatana na mke wake na maofisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Kenya, wamemtembelea Lissu hospitalini hapo alipolazwa tangu Septemba 7  anakotibiwa baada ya kuuguza majeraha ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 akiwa nyumbani kwake mjini Dodoma.

Rais Mwinyi anakuwa miongoni mwa viongozi wa juu wa Serikali waliomtembelea Lissu ambaye ni Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) ambaye hivi karibuni Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan naye alifika hospitalini hapo kumjulia hali.


Hivyo makala Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini

yaani makala yote Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/rais-mstaafu-ali-hassan-mwinyi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amtembelea Tundu Lissu hospitalini"

Post a Comment