Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar

Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar
kiungo : Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar

soma pia


Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Kulia akipokea zawadi na Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar kutoka kwa Balozi wa Kuweit Nchini Tanzania Bwana Jasem Al – Najem.
 Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Bwana  Jasem Al – Najem akisisitiza umuhimu wa Nchi yake kuendelea kusaidia huduma za Kijamii Nchini Tanzania hasa kwa Watu wenye mahitaji Maalum
 Balozi Seif Kulia akiushukuru Ubalozi wa Kuweit Nchini Tanzania kwa mchango wake mkubwa wa kusaidia huduma za Kijamii Nchini Tanzania.
 Baadhi ya Watu wenye mahitaji maalum pamoja na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar wakifuatilia matukio yaliyjiri kwenye hafla maalum ya makabidhiwano ya zawadi ya Vifaa kwa ajili ya Watu wenye ulemavu.

  Baadhi ya Watu wenye mahitaji maalum pamoja na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar wakifuatilia matukio yaliyjiri kwenye hafla maalum ya makabidhiwano ya zawadi ya Vifaa kwa ajili ya Watu wenye ulemavu.
 Balozi Seif  kati kati akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Kuweit Nchini Tanzania Bwana Jasem Al – Najem mara baada ya makabidhiano ya zwadi ya Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu.
 Baadhi ya Zawadi ya Vifaa vilivyotolewa na Ubalozi wa Kuweit Nchini Tanzania kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar.
Picha na – OMPR – ZNZ.
 Baadhi ya Zawadi ya Vifaa vilivyotolewa na Ubalozi wa Kuweit Nchini Tanzania kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar.
Picha na – OMPR – ZNZ.
Baadhi ya Zawadi ya Vifaa vilivyotolewa na Ubalozi wa Kuweit Nchini Tanzania kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar.
Picha na – OMPR – ZNZ.


Hivyo makala Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar

yaani makala yote Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/balozi-wa-kuwait-akabidhi-msaada-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Balozi wa Kuwait akabidhi msaada wa Vifaa kwa ajili ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar"

Post a Comment