Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda.

Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda.
kiungo : Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda.

soma pia


Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda.


Na Karama Kenyunko
WAKILI wa utetezi katika kesi ya mauaji inayomkabili mke wa marehemu bilionea Msuya, Miriam Mrita (41) na mfanyabiashara Revocatus Muyela (40), ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumuita Afisa wa upelelezi makosa ya jinai wa Temeke,(RCO) aje aeleze upelelezi wa kesi hiyo umefikia wapi.

Wakili Peter Kibatala amedai hayo leo mbele ya Hakimu  Mkazi Thomas Simba baada ya wakili wa Serikali Estazia Wilson kudai kesi hiyo leo ilikuja kwaajili ya kutajwa na upelelezi bado haujakamilika.

Hakimu Simba amekubaliana na ombi hilo la upande  wa  utetezi na kusisistiza kuwa RCO aitwe mahakamani hapo Kesi hiyo imeahirishwa hadi Octoba 16,2017 kwa ajili ya kutajwa.

Februari 23, mwaka huu, washtakiwa hao waliachiwa huru na mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Godfrey  Mwambapa kisha wakakamatwa tena na baadaye kusomewa mashtaka hayo ya mauaji upya.

Katika kesi hiyo namba 5/2017 inadaiwa Mei 25, mwaka jana maeneo ya Kibada Kigamboni Jijini Dar es Salaam, kwa makusudi washtakiwa walimuua dada wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Aneth Msuya. 


Hivyo makala Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda.

yaani makala yote Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/kesi-ya-mke-wa-bilonea-msuya-yaendelea.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kesi ya Mke wa Bilonea Msuya yaendelea kupigwa kalenda."

Post a Comment