WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI

WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI
kiungo : WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI

soma pia


WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI

SERIKALI imesema kuwa ipo tayari kuingia kugharama zozote ili kumpeleka kwenye matibabu mahali popote duniani Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Tundu Lissu iwapo watapokea maombi kutoka kwa ndugu na familia yatakaothibitishwa na daktari kuwa anahitaji huduma ya madaktari wa bingwa zaidi.

Akitaka apelekwe Marekani,Ujerumani na mahali mengine ikiwemo India tunaweza kumpeleka iwapo watapeleka maombi kwa serikali kutaka ifanye hivyo ili  kuhakikisha anapata matibabu stahiki. 

Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu katika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Tanga ambapo alisema wakipita maombi watatekeleza suala hilo haraka iwezekanavyo.

"Serikali haitakataa wala kushindwa kumuhudumia Tindu Lissu yeye ni Mtanzania kama wanavyohudumiwa wengine hivyo wao wapo tayari kuhakikisha anapata matibabu bora nje ya nchi "Alisema .Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza na waandishi wa habari jijini Tanga wakati akitangaza kuwa serikali ipo tayari kumpeleka kwenye matibabu mahali popote duniani mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Tundu Lisu. 



Hivyo makala WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI

yaani makala yote WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/waziri-ummy-serikali-ipo-tayari.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WAZIRI UMMY -SERIKALI IPO TAYARI KUGHARAMIA MATIBABU YA MBUNGE LISSU MAHALI POPOTE DUNIANI"

Post a Comment