MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA

MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA
kiungo : MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA

soma pia


MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA


Wakati Manchester United ikitarajia kucheza mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa msimu huu, leo Jumanne, kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho amethibitisha kuwa hakutakuwa na mfumo wa kupokezana makipa kama ilivyokuwa msimu uliopita. 

Mourinho amethibitisha kuwa  David de Gea ndiye ambaye ataanza katika kikosi cha kwanza cha timu yake dhidi ya Basle. 

Msimu uliopita, asilimia kubwa ya michezo ya Ulaya kipa aliyetumika kikosini hapo alikuwa ni Sergio Romero lakini safari hii Mourinho ameonyesha kuwa hana mpango huo.

Amesema sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwa kuwa De Gea yupo vizuri kwa sasa na hapendi kuwapangia makipa michuano ya kucheza


Hivyo makala MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA

yaani makala yote MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/mourinho-anataka-kazi-tu-asisitiza-de.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MOURINHO ANATAKA KAZI TU, ASISITIZA DE GEA ATADAKA MICHUANO YA ULAYA"

Post a Comment