UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA

UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA
kiungo : UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA

soma pia


UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA

--


 Ofisa kutoka Idara ya Mawasiliano ya Umoja wa Mataifa Tanzania ,Didi Nafisa akizungumza na Vijana wa Mtandao wa Vijana Temeke(TEYODEN), Juu ya Malengo ya Milenia kwa vijana na mambo yaliyopewa vipaumbele katika malengo hayo
 Katibu mkuu wa Mtandao wa Vijana Temeke(TEYODEN),Yusufu Kutegwa akizungumza juu ya namna Mtandao huo unavyofanya kazi kusaidia Vijana
 Baadhi ya Vijana walioshiriki Mkutano Huo wakisikiliza kinachozungumzwa kutoka kwa watoa mada
 Balozi wa Malengo ya Dunia kwa Vijana kutoka chuo cha Uhasibu Arusha ,Gloria Nassary akizungumza na Vijana wa Temeke juu ya Vipaumbele vitano vya Kibinadamu katika Malengo ya Milenia
  Balozi wa Malengo ya Dunia kwa Vijana kutoka chuo cha Mtakatifu Agustino ,Julius Kitingati akieleza namna Vijana wanavyoweza kufanikisha malengo hayo kwa Sera ya Viwanda hapa nchini
Sehemu ya Viana walioshiriki katika mkutano huo ulioandaliwa na TEYODEN  Kwa kushirikiana na umoja wa Mataifa


Hivyo makala UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA

yaani makala yote UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/un-yazungumza-na-vijana-wa-temeke.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UN YAZUNGUMZA NA VIJANA WA TEMEKE KUHUSU MALENGO YA MILENIA"

Post a Comment