Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere

Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere
kiungo : Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere

soma pia


Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere

Mchekeshaji Steve Nyerere mwenye vipaji vya kuigiza sauti mbalimbali za viongozi ,amefungua akisema kuwa siku akifa wanao mchukia hawataamini na watamuomba msamaha akiwa kwenye jeneza.
Steve kupitia ukurasa wake wa Instagram,  alitupia picha za watu mbalimbali wakiwemo mastaa akisema siku akifa watatamani kumuomba msamaha lakini haitakuwa na maana.

Aliweka picha hii kwenye ujumbe huo
“Siku nikifa najua hata wanaonichukia hawataamini, wataniomba msamaha nikiwa kwenye jeneza, lakini itakuwa haina maana, wangine watasema, dah tulimkosea sana na wangine watakuwa wamejifunza kitu kupitia mimi, siku nikifa…,”
Na Emmy Mwaipopo


Hivyo makala Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere

yaani makala yote Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/siku-nikifa-wanaonichukia-wataomba.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Siku nikifa wanaonichukia wataomba msamaha kwenye jeneza- Steve Nyerere"

Post a Comment