Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba

Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba
kiungo : Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba

soma pia


Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba

 Mkuu wa Mkoa Kusini Pemba Mwanajuma Majid Abdalla akifungua mafunzo ya siku moja yaliyoandaliwa na mamlaka ya mapato ZRB kuhusiana na matumizi ya mashine za elekroniki


Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mwanajuma Majid Abdalla akizungumza na Wakuu wa Wilaya za Pemba,Wakurugenzi wa Mabaraza ya mji pamoja na wakurugenzi wa halmashauri za Pemba katika mafunzo ya matumizi ya mashine za kielektroniki katika ukumbi wa ZSSF Chake Chake Pemba


Mkuu wa Wilaya ya Micheweni akichangia mada katika mafunzo yaliyoandaliwa na ZRB namna ya utumiaji wa mashine za kielektroniki

 Wakuu wa vikosi vya Idara Maalum za SMZ wakimsikiliza Kamishna wa ZRB katika mafunzo ya utumiaji wa mashine za kielektroniki (EFD) ambazo zinatarajiwa kutumika hivi karibuni, mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa ZSSF Chake Chake Pemba
Wakuu wa vikosi vya Idara Maalum za SMZ wakimsikiliza Kamishna wa ZRB katika mafunzo ya utumiaji wa mashine za kielektroniki (EFD) ambazo zinatarajiwa kutumika hivi karibuni, mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa ZSSF Chake Chake Pemba

Picha na Said Abdulrahman , Pemba


Hivyo makala Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba

yaani makala yote Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/mafunzo-juu-ya-matumizi-ya-mashine-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mafunzo juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki yafanyika kisiwani Pemba"

Post a Comment