Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani
kiungo : Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani

soma pia


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia  katika kilele cha  Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani kwenye ukumbi wa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma
 Waziiri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama sampuli mbalimbali za korosho katika wakati alipotembelea banda la Ushirika wa Ruangwa, Nachingwea Liwale Cooperative Union (RUNALI) Limited  katika kilele cha  Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani kwenye ukumbi wa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma Julai 30, 2017. Kushoto  kwake ni Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dkt. Charles Tizeba na kushoto kwa Waziri ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Convenant, Sabetha Mwambenja
 Bendi ya Jeshi la Kujenga Taifa ikiongoza maandamano katika kilele cha  Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dkt. Charles Tizeba (katikati) na Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi, Mhe. Tate William Ole- Nasha baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma  kuhutubia katika kilele cha  Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani kwenye ukumbi wa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma


Hivyo makala Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani

yaani makala yote Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-katika.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani"

Post a Comment