SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha

SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha
kiungo : SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha

soma pia


SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha


Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania imegharamia Sanda pamoja na majeneza kwa ajili ya Wanafunzi wa Shule ya Lucky Vicent waliopoteza maisha mapema jana kwenye ajali iliyokuwa ikihusisha safari ya kimasomo.

Akitoa taarifa hiyo leo Meya wa Jiji la Arusha , Mh. Calist Lazaro amesema kuwa taarifa za awali zinaonyesha kuwa tayari Serikali imekwishalipia gharama za majeneza na sanda ya kuhifadhia miili ya marehemu ambao kesho wanatarajiwa kufanyiwa ibada katika Uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abeid.


Hivyo makala SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha

yaani makala yote SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/serikali-yagharamia-msiba-wa-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SERIKALI Yagharamia Msiba wa wa Wanafunzi 32 Waliofariki Arusha"

Post a Comment