KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA

KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA
kiungo : KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA

soma pia


KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA



Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamii

KANISA la Notre Dame lililopo Paris nchini Ufaransa likiwa ni  kanisa kubwa na mashuhuri duniani limeteketea kwa moto huku chanzo chako kikiwa hakijafahamika.

Polisi wamewataka raia kutokupita kwenye maeneo ya karibu ili kurahisisha uokoaji unaofanywa na vyombo vya usalama.

Meya wa Parid Anne Hidalgo ameeleza kuwa moto huo ni mkubwa na kuhakikisha kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vipo kazini katika kuzima moto huo.

Rais wa nchi hiyo Macron Emmanuel kupitia mtandao wa twitter ameeleza pia kusikitishwa na ajali hiyo huku akikanusha kuwa tukio hilo lilipangwa.

Kanisa hilo lililojengwa  kuanzia karne ya 13 na kukamilika karne ya 15 na huchukua watu zaidi ya million 13 kwa mwaka na hutembelewa na zaidi ya watu 30000 kwa siku.


Hivyo makala KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA

yaani makala yote KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/04/kanisa-maarufu-duniani-lateketea-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KANISA MAARUFU DUNIANI LATEKETEA KWA MOTO UFARANSA"

Post a Comment