TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA
kiungo : TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA

soma pia


TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA



Mnamo tarehe 11.02.2019 majira ya saa 23:45 usiku huko eneo la Soweto, Kata ya Ruanda, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya lilikamata gari lenye namba za usajili T.937 CKD aina Toyota Saloon likiwa na vipodozi vya aina mbalimbali vilivyopigwa marufuku nchini. Vipodozi vilivyokamatwa ni:- 
Extra Clair katoni nane [08].
Perfect White katoni mbili [02].
Epiderm Cream dazani arobaini na saba [47]
Diproson dazani ishirini na moja [21]
Coco Pulp katoni mbili [02]
Carolight katoni sita [06]
Citro Light katoni tatu [03]
Teint Clair katoni mbili [02]
Top Lemon katoni nne [04]
Clair Men katoni mbili [02]
Princes Clair katoni nne [04]
Movet boksi mbili [02]
Miki Clair katoni mbili [02]
Top Clair Plus katoni moja [01]
Collagen formula boksi mbili [02]
Mont Clair boksi mbili [02]
Movet tube pcs mbili [02]
Movet boksi mbili [02]
Cocoderm boksi moja [01] 

KUPATIKANA NA VIPODOZI VILIVYOPIGWA MARUFUKU NCHINI. 

Mnamo tarehe 12.02.2019 majira ya saa 07:15 asubuhi huko eneo la Check Point Igurusi, Kata ya Igurusi, Tarafa ya Ilongo, Wilaya ya Mbarali na Mkoa wa Mbeya, Polisi wakiwa doria walimkamata SAID IDDY @ MOHAMED [32] Dereva na Mkazi wa Mbadula Arusha akiendesha gari lenye namba za usajili T.298 DCH aina ya Scania Basi la abiria – HAJI’s akitokea Mbeya kuelekea Arusha akiwa na vipodozi vilivyopigwa marufuku nchini aina mbalimbali. 

Vipodozi vilivyokamatwa ni:- 
Diana Boksi mbili [02].
White Max Boksi tatu [03].
Secret White Location Boksi moja [01] 

Upelelezi unaendelea na mara baada ya kukamilika, mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani. 


KUPATIKANA NA SILAHA [GOBORE] BILA KIBALI. 

Mnamo tarehe 11.02.2019 majira ya saa 14:35 mchana huko eneo la Makasini – Uyole, Kata ya Uyole, Tarafa ya Iyunga, Jiji na Mkoa wa Mbeya. Askari Polisi walimkamata PAUL ABRICK [66] Mkazi wa Mtaa wa Nyahoro – Uyole akiwa na silaha Gobore aina ya Tower yenye namba 1878 bila kibali. Upelelezi unaendelea.


Hivyo makala TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA

yaani makala yote TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/taarifa-kwa-umma-kutoka-jeshi-la-polisi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA"

Post a Comment