MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA

MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA
kiungo : MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA

soma pia


MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA


Mkuu wa kitengo cha Mission Katika Ubalozi wa Uholanzi,Lianne Houben akitoa neno la ufunguzi katika kongamno la upigajipicha na Mjadala wa picha za habari
Muongozaji wa Mjadala wa upigaji picha za Habari Valerie Msoka akichambua mada itakayojadiliwa katika mjadala huo ya Upigaji picha za habari nchini Tanzania
 Mkurugenzi wa Misa Tan Garisigwa Sengiyuvwa akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa Shindano la upigaji picha za Habari lililoandaliwa na Tasisi ya Voice, Imani Nsamila wakati wa hafla fupi iliyofanyika katika Kituo cha Utamaduni cha Ufaransa  Alliance Francai's Jijini Dar es Salaam.
  Mkurugenzi wa Misa Tan Garisigwa Sengiyuvwa akikabidhi zawadi kwa Mshindi wa Pili wa shindano la upigaji picha Aika Kimaro ambaye alipiga picha ikumuonyesha Mwanamke akiwa na Mtoto Mdogo huku kabeba mzigo wa Makopo kwa ajili ya kwenda kuuza hili ajikimu yeye na familia
 Mkufunzi wa Upigaji Picha za Habari Mwanzo Milinga akichangaia mada wakati wa mjadala wa upigaji picha za habari
 Mpigapicha wa picha za Habri ,Raqey Mohamed akizungumza uzoefu wake katika taaluma ya picha hapa nchini
 Mtaalamu wa Mawasiliano ya Umma na upigaji picha za Habari,Innocent Mungi akizungumza juu ya umuhimu wa picha katika kufikisha taharifa kwa jamii
 Mkurugenzi wa Misa Tan,Garisigwa Sengiyumva akizungumzia umuhimu wa Tasisi za Habri kuwekeza katika upigaji picha za habari hapa nchini hili kuleta matokeo mazuri
 Mkurugenzi Mkuu wa Chama Cha  Waandishi wa Habari Wanawake nchini,Rose Rueben akieleza ni namna gani wapiga picha wa habari wanavyotakiwa kuzingatia miko ya uandishi wa habari wakati w aupigaji picha zao
 Wadau mbalimbali wakipiga kura kwa ajili ya kumpata mshindi wa shindano la upigaji picha lililoandaliwa na Voice
Washiriki kutoka Sehemu Mbalimbali wakisikiliza Mdahalo huo--


Hivyo makala MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA

yaani makala yote MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/magwiji-wa-habari-wakutana-kujadili.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAGWIJI WA HABARI WAKUTANA KUJADILI UPIGAJI PICHA ZA HABARI TANZANIA"

Post a Comment