DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI.

DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI.
kiungo : DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI.

soma pia


DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI.



Na John Luhende
Mwambawahabari 
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe.Sarah Msafiri , ameishukuru  kamati ya Ujenzi  Manispaaya Kigamboni   kwa kusimamia vizuri  hadi kukamilika ujenzi wa kituo cha Afya Kimbiji   huku akiishukuruserikali kuu kwa kutoa fedha kwaajili ya ujenzi huo ambao umegharimu  jumla  ya shilingi million 450.

DC Msafiri ametoa pongezi hizo leo wakati wa ziarayake  ya kukagua miradi ya ujenzi Wilayani humo  ambapo ameeleza sababu za kuchewa kukamilika kwa ujenzi huo kuwa ni pamoja na  jiografia ya eneo na kuongezeka kwa wingi wa vyumba vya Majengo .

‘’Majengo ya kituo chetu nitofauti na mengine nchini ambayo tulipewa wote fedha za kuanza ujenzi eneo hili lina mwinuko (Land scape) ilituchukua muda kuweka sawana na kuanza ujenzi wa msingi ,pia sisi tumeongeza vyuma sita  kwahiyo tukachelewa kumaliza ila kwasasa asilimia 90% ya ujenzi imekamilika”Alisema .

Aidha amesema pamoja na kukamilika kwa ujenzi huo wanatarajia kupokea vifaatiba kutoka kwa MSD ifikapo mwezi  March  na kuwataka wananchi wa maeneo jirani kukitumia kituo hicho kwa kuwa serikali imewarahishia  na kuwapunguzia usumbufu wa kutembea mwendo mrefu kwenda vijibweni na Kigamboni kufuata huduma za Afya.

“Nawataka sasa wananchi  mkitumie kituo hiki kata zote nne zinazo zunguka eneo hili tumieni hiki ni kituochenu ,naomba pia uongozi wa kituo hiki pia muwatangazie wananchi ili wasiendelee kupata shida”Alisema 

Kwa upende wake Mganga mkuu wa Manispaa ya Kigamboni , Charles  Rashid Mkombachepa, baadhi ya huduma zimesha anza kutolewa ikiwemo huduma ya Mama na Mtoto na .

“Kituo hiki tangu tungu tumekifungua mwezi mmoja uliopita jumla ya akina mama 25 wamesha jigulia hapa naendelea kutoa wito kwa wananchi waje kupata huma hapa”Alisema 

Katika ujenzi huo jumla ya shilingi million  450, ambapo serikali kuu imetoa shilingi million 400 ambapo kutoka na jiogafia ya eneo hilo na kuonezeka idadi ya vyumba gharama zilidi ambapo Manispaa ya kigamboni iliongezea shilingi milino 50.



Hivyo makala DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI.

yaani makala yote DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/dc-kigamboni-aeleza-sababu-ya-kuchelewa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC KIGAMBONI AELEZA SABABU YA KUCHELEWA KUKAMILIKA UJENZI KITUO CHA AFYA KIMBIJI."

Post a Comment