title : NMB YATO MSAADA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA SH MILIONI TANO WILAYANI KITETO.
kiungo : NMB YATO MSAADA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA SH MILIONI TANO WILAYANI KITETO.
NMB YATO MSAADA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA SH MILIONI TANO WILAYANI KITETO.
Meneja wa NMB kanda ya kati Dodoma, Msolo Mlozi amewaomba wananchi wa Wilaya ya Kiteto, kujiunga na Benki ya NMB kwa kufungua akaunti kwa lengo la kunufaika na Benki hiyo kwa nyanja mbalimbali zikiwemo Elimu, Afya na misaada ya Majanga inapojitokeza.
Mlozi ameyasema hayo hivi karibuni akiwa katika Kijiji cha Chang'ombe alipofika kutoa msaada wa bati, mbao na misumari vya thamani ya milioni tano, kuondoa adha kwa wanafunzi wa shule ya msingi Matereka..
Meneja wa NMB kanda ya kati Dodoma, Msolo Mlozi akikabidhi mabati kwa uongozi wa shule ya msingi Matereka,katika kijiji cha Chang'ombe wilayani Kiteto hivi karibuni.
Meneja wa NMB kanda ya kati Dodoma, Msolo Mlozi akikabidhi mbao kwa Uongozi wa shule ya msingi Matereka,katika kijiji cha Chang'ombewilayani Kiteto hivi karibuni.
Meneja wa NMB kanda ya kati Dodoma, Msolo Mlozi akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali katika Kijiji cha Chang'ombe alipofika kutoa msaada wa vifaa vya ujenzi kama vile Mabati, Mbao na Misumari vyenye thamani ya shilingi milioni tano, kuondoa adha kwa wanafunzi wa shule ya msingi Matereka.
Hivyo makala NMB YATO MSAADA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA SH MILIONI TANO WILAYANI KITETO.
yaani makala yote NMB YATO MSAADA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA SH MILIONI TANO WILAYANI KITETO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala NMB YATO MSAADA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA SH MILIONI TANO WILAYANI KITETO. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/nmb-yato-msaada-vifaa-vya-ujenzi-vyenye.html
0 Response to "NMB YATO MSAADA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA SH MILIONI TANO WILAYANI KITETO."
Post a Comment