RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO
kiungo : RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO

soma pia


RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana  na Mwakilishi wa Kampuni ya KOLON Nchini Tanzania Ndg.Teger  Lee, kushoto kwa Rais Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea Balozi Song Geum –young, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo,6-12-2018. (Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea, Balozi Song. Geum-young, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha  kwa Rais wa Zanzibar leo 6-12-2018.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea Nchini Tanzania Balozi Song Geum-young, alipofika Ikulu Zanzibar kujitambulisha na kufanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar,leo 6-12-2018.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na mgeni wake Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea Nchini Tanzania,Balozi Song Geum-young, baada ya mazungumzo yao yaliofanyika leo Ikulu Zanzibar,6-12-2018.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akibadilishana mawazo na Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea Nchini Tanzania.Balozi Song.Geum –young, wakati wakiagana baada ya kumaliza mazungumzo yao leo Ikulu Zanzibar.6-12-2018.(Picha na Ikulu)


Hivyo makala RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO

yaani makala yote RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/rais-wa-zanzibar-mhedk-shein-azungumza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO"

Post a Comment