NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO

NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO
kiungo : NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO

soma pia


NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO

 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu (kulia) akipewa maelezo kutoka kwa Mkuu wa Hifadhi ya Kisiwa cha Rubondo, Ignas Gara (katikati) mara baada ya kuwasili katika hifadhi ya kisiwa hicho ambapo  ambapo aliweza kuzungumza na watumishi wa Hifadhi hiyo  iliyopo wilayani Chato mkoani Geita. Kushoto ni Afisa wanyamapori wa Hifadhi hiyo, Emmanuel Kaaya. 
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu (katikati) akipewa maelezo kutoka kwa Meneja wa Hoteli ya Asilia, Adam Juma (wa pili kulia) akiwa pamoja na Mkuu wa Hifadhi hiyo, John Gara (wa pili kushoto) wakati alipofanya ziara katika hifadhi ya Taifa  ya  kisiwa cha Rubondo    ambapo aliweza kutembelea  hoteli hiyo iliyopo ndani ya  Hifadhi hiyo  iliyopo wilayani Chato mkoani Geita. Kulia ni Afisa wanyamapori wa Hifadhi hiyo, Emmanuel Kaaya na kulia ni Adrian William
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu akiwa pamoja na Mkuu wa Hifadhi hiyo, John Gara (kulia) wakiangalia baadhi ya picha kwenye simu ya Sokwe wakati Naibu Waziri huyo alipofanya ziara katika hifadhi ya Taifa  ya  kisiwa cha Rubondo, Kushoto ni Katibu wa Naibu Waziri huyo,Bw. Zulu Ng’ondya.
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,  Constantine Kanyasu (katikati) akiwa pamoja na Mkuu wa Hifadhi hiyo, John Gara (kulia) wakiwa kwenye boti wakivuka  wakati Naibu Waziri huyo alipofanya ziara katika hifadhi ya Taifa  ya  kisiwa cha Rubondo, Kushoto ni Katibu wa Naibu Waziri huyo,Bw. Zulu Ng’ondya
Baadhi ya sehemu za kupumzika katika hifadhi ya Taifa  ya  kisiwa cha Rubondo.

(PICHA ZOTE NA LUSUNGU HELELA-WMU)


Hivyo makala NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO

yaani makala yote NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/naibu-waziri-constantine-kanyasu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO"

Post a Comment