NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII.

NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII.
kiungo : NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII.

soma pia


NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII.


Na. John Luhende 
Mwamba wa habari
Akina Mama  wajane katika kata ya vingunguti  wametakiwa kuwa na umoja ili kuwa kukabili changamoto za maisha zinazowakabili na kuweza kupata msaada wa kijamii kutoka serikalini  na wafadhili mbalimbali na watu binafsi . 


Wito huo umetolewa na Naibu meya wa Manispaa ya Ilala ambaye pia ni Diwani wa kata ya Vingumguti Omary Kumbilamoto, alipokuwa akitoa msaada wa vyakula kwaajili ya sikuu ya Christmas kwa kikundi cha Upendo cha akinamama wajane kata ya Vinguti , na kuitaka jamii kutoyasahau makundi ya wajane yatima na walemavu.

‘’Akina Mama hawa hawakuwa na pakushika sikukuu hii, ni likutana nao siku tatu zilizopita wakaniomba  nikawaahidi kuwa saidia, na leo nimewaletea  Mchele  kilo 100,na Mafuta ndoo moja , kubwa zaidi nina sisitiza wawe na umoja ili iwe rahisi kuwa fikia na kuwapa msaada,namimi nimefanya mengi katika kata hii ikiwemo kununua gari la wagnjwa katika zahanati ya Vingunguti, nitawasaidia kuwa tafutia wadu na pia nitamleta afisa Maendeleo ili awape elimu  na wafungue account “alisema
Aidha Kumbilamoto ameitaka jamii kuwa na huruma kwa wajane kutowanyang’anya  mali walizo achiwa na waumezao.

“Naomba jamii tuyaangalie haya makundi maalum ya Walemavu wajane na Yatima ,pia sibusara sana kwa wanajamii kunnyang’anya maliza  za malehemu wajane wanateseka  na yatima, kwa hapa Vingunguti tuna viwanda 41, nita waomba nao wasaidie kundi hili “alisema 

Kwa upande wake mwalimmu  wa kikundi hicho Jane Raulent,  amesema amefanikiwa kuwaweka pamoja wajane hao  na sasa wana saidiana kuweza kupata chakula kwa kuchangia fedha kidogo.

‘’Nimejaribu kuwa saidia kwa kuwaweka pamoja hapa mwanzo walikuwa wanateseka walikuwa wanaokota vikuni na vifuu barabarani na chakula ilikuwa shida kwa sasa wanachangiana  chakula kwa kuto shilingi elfu tano kila mjane anapata kiroba kimoja cha unga , na muda mwingine  mafuta ya taa  na mkaa”alisema

Nao baa dhi ya akimama wajane waliopatafursa ya kuzungumza wamemshukuru Naibu Meye Kumbilamoto kwa msaada aliowapa na kumuoma awatafutie wafadili  wa kikundi hicho.

“Jinalangu naitwa Mariam  Daud Hashim,ni mjane nifiwa na Mume wangu 2007, haijawahitokea  kwa viongozi hatawaliopita sikuwahi kuwaona wakisaidia wajane hadi mimi leo nimetimiza miaka 70, naona viongozi  waliowengi wanajali familia zao na wanajilimbikizia mali , tunakushukuru wewe Baba kwa moyo wakutoa Mwenyezi Mungu akuzidishie ulipotoa ’’alisema.


















Hivyo makala NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII.

yaani makala yote NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/naibu-meya-ilala-amekula-sikukuu-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NAIBU MEYA ILALA AMEKULA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA WAJANE ,ATOA UJUMBE MZITO KWA JAMII."

Post a Comment