KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ

KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ
kiungo : KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ

soma pia


KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ

NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.
KAMATI Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Zanzibar imekutana chini ya Mwenyekiti wake ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein, imeunga mkono juhudi za Serikali kusaini Makubaliano ya Mgawanyo wa Uzalishaji wa Mafuta na Gesi Asilia (PSA) na Kampuni ya RAKGAS ya Ras al Khaimah ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Akitoa ufafanuzi jana Disemba 11, mwaka 2018 juu ya masuala mbali mbali yaliyoazimiwa kupitia Kikao hicho Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar  Dk.Abdulla Juma Saadalla 'Mabodi', huko Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, ameeleza kwamba Kikao hicho kimeipongeza Serikali kwa kusaini mkataba huo na kueleza kuwa ulifuata taratibu zote za kisheria.

Dk. Mabodi aliongeza kwamba maamuzi ya kusaini mkataba huo yametokana na kukamilika kwa taratibu mbali mbali za kisheria kwa pande zote za Muungano ambapo kupitia maamuzi ya kisheria Zanzibar imepewa mamlaka ya kuchimba na kusimamia yenyewe masuala ya Mafuta na Gesi.

Alisema kuwa kufanikiwa kwa mchakato huo wa kusainiwa mkataba huo ni hatua kubwa ya maendeleo iliyofanywa na Dk.Ali Mohamed Shein, kwa kushirikiana na Viongozi mbali mbali wakiwemo Rais Mstaafu wa awamu ya nne  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jonh Pombe Magufuli.
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Zanzibar wakiwa katika Kikao cha kawaida kinachofanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu, huko Kisiwandui Afisi Kuu Zanzibar.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ

yaani makala yote KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/kamati-maalum-ya-nec-zbar-yaipongeza-smz.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAMATI MAALUM YA NEC Z'BAR YAIPONGEZA SMZ"

Post a Comment