GEORGE W. BUSH "41" AFARIKI DUNIA - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa GEORGE W. BUSH "41" AFARIKI DUNIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
GEORGE W. BUSH "41" AFARIKI DUNIAkiungo :
GEORGE W. BUSH "41" AFARIKI DUNIA
GEORGE W. BUSH "41" AFARIKI DUNIA
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamii
ALIYEKUWA Rais wa 41 wa Marekani, George Herbert Walker Bush amefariki dunia akiwa na miaka 94, familia yake imethibitisha. Bush aliyefahamika kama "the 41" ili kumtofautisha na mwanaye George W. Bush Rais wa 43 wa Marekani.
Familia ya Bush imetangaza kifo cha baba yao kupitia msemaji wa familia Jim MCGrath, ujumbe huo ulieleza kuwa, "Jeb, Neil, Marvin, Dor and I are saddened to announce that after 94 remarkable years, our dad has died" George Bush alieleza kwa niaba ya famila na kunukuliwa na jarida la Sunday News nchini humo.
Kifo cha Bush kimetokea baada ya miezi kadhaa tangu ampoteze mkewe Bi. Barbara Bush aliyefariki April, 17 mwaka huu. George Herbet Walker Bush atakumbukwa sana kwa mchango wake kwenye vita baridi ya 1988-1992 na aliangushwa kwenye uchaguzi mkali na Bill Clinton mwaka 1992, Bush alipoteza mvuto katika siasa kutokana na sera za nje zilizompelekea kuhudumumu kwa muhula mmoja pekee.
Kinachowavuta wengi ni kuwa Rais pekee aliyedumu kwenye ndoa na mkewe bi. Barbara kwa miaka 73, waliyotimiza mwaka 2017.
Hivyo makala GEORGE W. BUSH "41" AFARIKI DUNIA
yaani makala yote GEORGE W. BUSH "41" AFARIKI DUNIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala GEORGE W. BUSH "41" AFARIKI DUNIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/george-w-bush-41-afariki-dunia.html
Related Posts :
VIDEO: HUSSEIN MACHOZI AACHIA VIDEO NA WIMBO MPYA ‘NIPE SIKUACHI’
Baada ya kukaa kimya kwa miezi kibao bila kuachia wimbo, Hussein Machozi ameachia wimbo mpya uitwao, Nipe Sikuachi. Wimbo huo umetayarishwa… Read More...
WAGOMBEA URAIS NCHINI UFARANSA WAPIGANA VIJEMBE KATIKA MDAHALO
Mdahalo wa televisheni wa baada ya duru ya kwanza na kabla ya duru ya pili ya uchaguzi wa urais nchini Ufaransa ulifanyika Jumatano, Mei 3,… Read More...
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA PALESTINA DR.RIYAD MALIKI,AKARIBISHA KURA YA UNESCO, AKISEMA DUNIA IMEMUA KUSIMAMIA HAKI
Ramallah, Mei 2, 2017 (Wafa) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina Dr. Riyad Maliki,Jumanne ya wiki hii amekaribisha matokeo ya kura ya Bod… Read More...
Nay wa Mitego: Remix ya wimbo WAPO ya Rais Magufuli iko tayariMwambawahabari
Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego amedai remix ya wimbo ‘Wapo’ kwaajili ya Rais John Pombe Magufuli… Read More...
Profesa Lipumba Asema Ilikuwa ni MZIGO Mkubwa sana Kumnadi Lowassa......Akanusha Kutumiwa na CCM Kuivuruga CUFMwambawahabari
Mwenyekiti wa CUF anayetambulika na msajili wa Vyama vya Siasa Prof. Ibrahim Lipumba leo May 4, 2017 kupitia kipindi c… Read More...
0 Response to "GEORGE W. BUSH "41" AFARIKI DUNIA"
Post a Comment