UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO

UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO
kiungo : UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO

soma pia


UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO

Wananchi wa jimbo la Liwale wamepongezwa kwa kujitokeza kwa wingi na mapema kwenda kupiga kura kuwachagua viongozi wanaowataka, 

 Hayo yameelezwa na Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Balozi Ramadhani Mapuli akiwa anafuatili uchaguzi mdogo katika Jimbo la Liwale. 
Balozi Mapuli amesema kwamba, ameridhishwa na utaratibu wa upigaji wa kura ikiwa ni pamoja na vituo kufunguliwa kwa wakati na hakuna malalamiko yoyote yaliyojitokeza katika hatua za awali. 

 Amewasihi wakazi wa Jimbo hilo kuendelea kujitokeza kwa wingi na kupiga kura katika hali ya amani na utulivu.
Kwa mujibu wa Mkurugezi wa uchaguziJimbo la Liwale  Luiza Mlelwa amesema  kuwa Jimbo hilo lina wapiga kura  55,777 na Vituo vya kupigia kura 158. 



Hivyo makala UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO

yaani makala yote UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/uchaguzi-mdogo-jimbo-la-liwale-na-kata.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA LIWALE NA KATA 37 ZA TANZANIA BARA WAFANYIKA LEO"

Post a Comment